C E O OF BMG

- Black generation media Group [ BMG]
- FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.
Jumamosi, 6 Agosti 2016
UONGOZI WA CLUB YA MADRID WAANZA KUMJADILI ZINEDINE ZIDANE.......................................
ZIMESALIA SIKU KUMI KABLA YA KUANZA TENA KWA MSIMU WA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA[ EPL]..........,,,,,
CLUB YA ARSENAL YAINGILIWA NA MAHASIMU WAO KATIKA DILI LA USAJILI...............
![]() | |
Washika bunduki wa kaskazini mwa jiji la London [ARSENAL] wamewasilisha maombi kwenye klabu ya Valencia na West Brom, wakitaka kuwa sajili shrodran mustafi na jonny Evans. |
Huenda the Gunners wakapata upinzani mkali kutokakwa chelsea ambao wameonyesha nia ya kumsajili Mustaki ambaye aliwahi kuitumikia Klabu ya Everton.
Mkataba wa Beki huyo kutoka nchini ujerumani unaonyesha kuwa kama kuna klabu ikitaka kumsajili inatakiwa kutoa kiasi cha paundi milioni 41, lakini Valencia wamejishusha na kuwa tayari kupokea hadi pauni million 25.
Arsenal wanahitaji kuongeza beki mpya baaada ya nahodha wao per mertasecker kusumbuliwa na majeraha amabayo huenda yakamweka nje hadi mwishoni mwa mwaka huu.
Beki huyo wa ujerumani alipata majeraha hayo wakati wa mchezo wa kujipima nguvu dhidi ya RC lens, ambapo ulimalizika kwa sare ya bao moja kwa moja.
KIUNGO PAUL POGBA AMKABITHI MSANII DRAKE JEZI YA JUVENTUS YENYE JINA LAKE..................
Alhamisi, 28 Julai 2016
KOFFIE OLOMIDE ATUPWA JELA MIEZI 18 MJINI KINSHASA NCHINI CONGO............
![]() | |
Mahakama mjini kinshasa imemuhukumu mwanamuziki Mkogwe Koffie Olomide kwenda jela miezi 18 kwa kosa la kumpiga mngenguaji wake kudhalilisha utu wa mwanamke. |
Msanii huyo ameanza kutumikia adhabu yake katika gereza moja nchini humo na wakati akiingia kwenye gereza hilo Koffie alisikika akisema siwapendi wanawake,
KLABU YA VILLARREAL YAKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI KUTOKA CHELSEA......................................
![]() | |
Klabu ya Villarreal ya nchini Hispania imedhibitisha kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Brazil ,Alexandre pato |
Taarifa zilizochapishwa kwenye tovuti ya klabuhiyo ya El Madrigal zimeeleza kuwa pato amesaini mkataba wa miaka minne.
Hata hivyo haikuelezwa ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kama ada ya usajili wa mshambuliji huyo mwenye umri wa miaka 26, ambaye aliwahi kutamab na klabu ya AC milani ya nchini italia kuanzia mwaka 2007-2012.
Klabu ya sevilla cf ya nchini Hispania nayo ilikua inahusishwa na kutaka kumsajili Pato.
HATMA YA SAKATA LA KIUNGO PAUL POGBA KUTUA OLD TRAFORD KUJULIKANA NDANI YA SAA 48 ZIJAZO............
![]() | |
Sarakasi za usajili wa kiungo kutoka ufaransa [PAUL POGBA]hatma ya uhamisho wa mchezaji huyo kujulikana ndani ya saa 48. |
Man united wanatarajia kukamilisha dili hilo kwa ada ya uhamisho itakayovunja rekodi ya dunia, ambayo kwa sasa inashikwa na mshambuliaji kutoka Nchini wales na klabu ya Real madrid Gareth Bale.
Mashetani hao wekundu tayari wameshawasilisha ofa ya pauni milioni 100, huko Juventus stadium na baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kuwa uongozi wa mabigwa wa soka nchini Italia Juventus umeshakubali.
Jambo lingine ambalo linaonyesha dalili za dili la wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 23 huenda likakamilishwa ndani ya saa 48 zijazo ni mazungumzo ya uhamisho huo kati ya wakala wa Pogba Mino Raiola, na Mkurugenzi wa club hiyo ya Juventus Giusppe Beppe Moratta.
Mwanzo wawili hao walikua wakipingana kuhusu swala la uhamisho wa mchezaji huyo.
RAPA NAY WA MITEGO ADAI ATAWAMIS......
![]() | |
Rapa Nay wa mitego ambae amefungiwa kujihusisha na shuhuli za muziki na Baraza la sanaa nchini BaSATA, amefunguka na kudai kuwa atazimiss shuhuli alizokua anazifanya. |
Basata imemfungia rapa huyo kwa kipindi amabacho hakijajulikana, mpaka pale watakapojiridhisha kwamba amebadilika ikiwemo kujisajili kufanya shuhuli za sanaa nchini.
Jumatano, 13 Julai 2016
KLABU YA CHELSEA YAZINDUA RASMI JEZI ITAKAYOTUMIKA KATIKA MSIMU UJAO WA LIGI KWA MECHI ZA UGENINI...........
![]() | |
klabu ya chelsea yenye maskani yake jijini london nchini wingereza yazindua rasmi jezi itakayo tumika katika mechi zake za ugenini. |
MAMA WA CRISTIANO RONALDO AMJIA JUU MCHEZAJI WA UFARANSA DIMITRI PAYET......................................
![]() | |
Mama wa Cristiano Ronaldo Dolores Aveiro amjia juu Dimitri payet,kufuatia rafu mbaya aliyomchezea mwanae katika fainali ya EURO 2016 Nchini Ufaransa. |
Hata hivyo mechi hiyo iliisha kwa timu ya Taifa ya Ureno kufanikiwa kutwaa ubigwa wa michuano hiyo kwa kufanikiwa kuifunga Ufaransa goli moja kwa sifuri goli lililofugwa na mchezaji Heder katika dakika 30 za nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida bila mshindi kupatikana.
THIERY HENRY AAMUA KUACHANA NA KAZI YA UKOCHA KATIKA CLUB YA ARSENAL.......................................
Maamuzi aliyofanya Henry ambae ni gwiji wa soka wa zamani wa club hiyo yenye maskani yake katika jiji la London nchini wingereza, ameamua kuacha kazi katika Club hiyo na kubaki kuwa mchambuzi katika kituo cha Television cha Sky sport.
Maamuzi hayo yaliyofanywa na Gwiji huyo yamewafurahisha baadhi ya viongozi wa club hiyo ya Arsenal..
Ijumaa, 8 Julai 2016
MAMIA YA WATU WATAPIGWA PICHA ZA UTUPU KATIKA MJI WA HULL NCHINI UINGEREZA.........................
![]() | |
Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherekea utamaduni katika mji wa Hull, uingereza. |
washiriki watapakwa rangi ya samawati jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.
Mradi huo unatekelezwa nampiga picha spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya sanaaa ya Ferens Art Gallery.
picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja.
Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.
Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi sydney opera House, place des Art mjini Montrel, Mexico city na mjini Munich nchini Ujerumani.
Bw Tunick amesema kazi zake'' hugusia historia ndefu ya sanaaa ya utupu''
''Mavazi ni sanaa ya mtu mwingine''anasema.
Fashion ni sanaa. kwa kuondoa hilo[ mavazi] nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake''
Watu karibu 2000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi machi.
Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shuhuli hiyo jumamosi asubuhi.
PAUL POGBA AKIRI KUA ANAHITAJI KURUDI KATIKA CLUB YA MANCHESTER UNITED.......
Jumatatu, 4 Julai 2016
MABASI MAWILI YA CITY BOYS YAUWA 24 MKOANI SINGIDA...
MANCHESTER UNITED WAPO TAYARI KULIPA PAUNDI MILIONI100 KWA JUVENTUS............
HAYA NDIO MANENO ALIYOYASEMA BARAKA THE PRINCE, KUMUHUSU MSANII MWENZAKE YOUNG KILLA.
![]() |
MSanii huyo ametoa maneno hayo wakati akiwa anafanya mahojiano na kituo kimoja cha redio
Hata hivyo kauli hiyo imeonekana kupokewa katika mtazamo tofauti na mashabiki wa mziki wa kizazi kipya, wengi wameonekana kumponda msanii huyo kwa kauli hiyo aliyoitoa na kusema, young kila ni msanii mkubwa na mwenye kipaji cha aina yake, hivyo Baraka the prince bado ni msanii mchanga sana katika tasnia ya mziki wa kizazi kipya hivyo hawezi kushindana na young killa.
Jumatano, 29 Juni 2016
CLUB YA CHELSEA IPO KATIKA HATUA ZA MWISHO KUKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI KUTOKA OLYMPIC MARSEILLE YA NCHINI UFARANSA
![]() | |
Club ya Chelsea yenye maskani yake jijini london nchini Wingereza ipo katika hatua za mwisho kumsajili Mshambuliaji kutoka club ya Olmpic Marseille, Batshuayi kwa ada ya Euro million 33. |
Mchezaji huyo anatarajia kujiunga na mbelgiji mwenzake Eden hazard katika klabu hiyo ya chelsea katika msimu ujao.
Usajili huo ni wa kwanza kufanywa na club ya chelsea kwa msimu huu chini ya kocha mpya Antonio Conte, ikiwa ni moja ya harakati za kukiboresha kikosi cha club hiyo, kwani msimu uliopita haukua mzuri sana kwa club hiyo, iliyokua ikifundishwa na kocha jose morinho aliyetimuliwa klabuni hapo baada ya club hiyo kupata matokeo mabaya, kitu kilichopelekea kumaliza katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini wingereza na kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya klabui bigwa barani ulaya katika msimu ujao.
CLUB YA LIVERPOOL YAKAMILISHA DILI LA KUMSAJILI MCHEZAJI WA SOTHAMPTON KWA KUMSAINISHA MKATABA WA MIAKA MINNE.
![]() | |
Klabu ya liverpool yakamilisha usajili wa mshambuliaji Saido Mane,kutoka Sothampthon kwa ada ya Euro million 30. |
Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne ambao utamweka klabuni hapo mpaka mwaka 2021,usajili huo ni wa kwanza kufanywa na klabu hiyo ya liver pool yenye maskani yake katika jiji la liverpool nchini wingereza ikiwa ni moja ya harakati za kuiboresha klabu hiyo katika msimu ujao wa ligi, kwani itakumbukwa katika msimu uliopita club hiyo ilimaliza ikiwa katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini Wingereza,
Jumanne, 21 Juni 2016
MHARIRI WA GAZIETI LA DIRA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA GAZETI HILO KUTOA HABARI ZISIZO ZA KWELI..
![]() | |
Mhariri wa Gazeti la Dira afikishwa kituo cha polisi baada ya Gazeti hilo kuandika taarifa potofu ya kuibiwa kifaru cha JWTZ. |
jana JWTZ imekanusha taarifa hizo na kulitaka gazeti hilo kukanusha na kuomba radhi mara moja kwa kutoa taarifa za uongo kwa uma.
Taarifa mpya leo ni kwamba jeshi la polisi nchini linamshikilia mhariri wa Gazeti la Dira kwa mahojiano zaidi.
Alhamisi, 16 Juni 2016
HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA RAPPER CHID BENZ KWA SASA BAADA YA KUPATA MATIBABU................
![]() | |
Huu ndiyo muonekano mpya wa sasa hivi wa rapa chid Benz, aliekua akipata matibabu kutokana na kuadhiriwa na dawa za kulevya |
Hata hivyo meneja wa kundi la Tiptop connection Babu tale ndiye mtu aliejitolea kwa hali na mali kuhakikisha msanii huyo anarudi katika afya yake ya kawaida na kuweza kuendelea na shuhuli zake za muziki,.
Sambamba na hilo msanii huyo baada ya kupona sasa atakua anasimamiwa na Meneja Babu tale katiaka kazi zake za mziki kwa sasa.
WABUNGE WA CHAMA CHA MAPINDUZI[ CCM]WAPENDEKEZA KUONGEZWA KWA SHILINGI 50 KATIKA KILA LITA YA MAFUTA....
Wabunge wa chama cha mapinduzi ccm wataka shilingi 50 iongezwe katika kila lita ya mafuta nchini.
Wabunge hao wa chama hicho tawala wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu walipopinga vikali zoezi la kukatwa kodi katika fedha zao za kiinua mgongo [penssen] wakidai kua hawana fedha yoyote wanayoitegemea ili kuendesha maisha yao baada ya kuustaafu tofauti na hiyo na kuongeza kua muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitano peke yake.
wawakilishi hao wa wananchi katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wametoa pendekezo hilo bungeni ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa wabunge wa vyama vya upinzani wameweka mgomo wa kuto udhuria vikao vya bunge kwa madai ya kutokua na imani na spika wa bunge hilo la jamuuri ya muungano wa Tanzania.
Wabunge hao wa chama hicho tawala wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu walipopinga vikali zoezi la kukatwa kodi katika fedha zao za kiinua mgongo [penssen] wakidai kua hawana fedha yoyote wanayoitegemea ili kuendesha maisha yao baada ya kuustaafu tofauti na hiyo na kuongeza kua muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitano peke yake.
wawakilishi hao wa wananchi katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wametoa pendekezo hilo bungeni ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa wabunge wa vyama vya upinzani wameweka mgomo wa kuto udhuria vikao vya bunge kwa madai ya kutokua na imani na spika wa bunge hilo la jamuuri ya muungano wa Tanzania.
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMNYONGA KWA KANGA KISA WIVU WA MAPENZI......
![]() | |
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa na mumewe Raphael kazembe tena kwa kutumia khanga mkoani shinyanga kisa kikuu kikiwa ni wivu wa mapenzi. |
Mtuhumiwa alikimbia baada ya tukio hili na mpaka sasa polisi wanaendelea na juhudi za kumsaka kokote aliko,mwenyekiti wa mtaa huo bwana Edward Mihayo anasema taarifa zilimfikia kutoka kwa wanamtaa baada ya kushuhudia maiti ya rehema ikiwa imenyongwa kwa kanga.
Jumanne, 14 Juni 2016
ANTONIO KONTE AMTAKA BEKI WA MANCHESTER UNITED MATHEO DAMIAN KATIAKA KLABU YA CHELSEA.......
![]() | |
Kocha mpya wa klabu ya chelsea Antonio Konte anataka kumsajili beki wa kushoto wa manchester united Mateo Damian, |
Kwa sasa mchazaji huyo yupo nhini ufaransa na timu ya taifa ya italy katika fainali za EURO, timu hiyo ipo chini ya kocha antonio konte ambae ni kocha mtarajiwa wa klabu ya chelsea na kuwa pamoja kwa kocha huyo na beki huyo wa mashetani wekundu, huenda ukawa ni mwanya mzuri kwa kocha huyo kumshawishi Matheo Damian kutua Stanford bridger.
Usajili huyo unataka kufanyika ikiwa ni moja ya harakati za kocha huyo mwitaliano kutengeneza safu ya ulinzi ya klabu hiyo ya chelsea baada ya kuonekana kutetereka katika msimu uliopita kitu kilichopelekea klabu hiyo ambao walikua ni mabigwa wa tetezi kumaliza msimu wakiwa katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi kuu nchini wingereza...
TMTAZAME HAPA VIDEO YA MCHEKESHAJI STAN BAKORA AKIRUDIA KUIMBA WIMBO WA RAYMOND NATAFUTA KIKI..........................
VIDEO YA STAN BAKORA AKILIIMBA WIMBO WA RAYMOND KWENYE VIDEO HIII
Jumatatu, 13 Juni 2016
DONALD TRUMP ASEMA HAYA KUHUSU MAUWAJI YA WATU 50 NCHINI MAREKANI.............
![]() | ||
Mwanasiasa wa nchini marekani Donald Trump amesema mauaji ya watu 50 katika baa jana inathibitisha msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga ardhi ya marekani. |
upande wa bi clinton wakiton ambae ni mpinzani wa Donald trump katika kuwania kiti cha uraisi nchini marekani ,wametoa pole kwa waathirika wa mkasa huo papo hapo wamemtaja Trump kama mtoto anaejitweza ovyo kwa jinsi anavyougeuza mkasa huo wa kitaifa kujipongeza binafsi.
Wakati huo,huo shirika la kijasusi la FBI limesema mtu aliyewaua watu 50 kwa kuwafyatulia risasi katika klabu moja ya wapenzi wa jinsia moja alikiri kuunga mkono kundi la kigaidi la IS.
FBI wameongeza kusema kuwa wamekuwa wakimfanyia uchunguzi mtu huyo Omar Mateen tangu 2013 baada ya kutoa matamshi ya chuki akiwa kazini.
Baba Mateen amesema anaamini kitendo alichokifanya mwanae kilitokana na msukumo wa hisia zake dhidi ya wanaoendeleza mapenzi ya jinsia moja na wala si kwa sababu za kidini.
Naye mkewe wa zamani sitora yusufiy, amemweleza Mateen kama mtu aliyekuwa na tabia za kigomvi na kutaka kupiga watu lakini hakuwa na itikadi kali za kidini
Alhamisi, 2 Juni 2016
MSANII RICH MAVOCO ASAINI RASMI MKATABA WA KUFANYA KAZI CHINI YA KAMPUNI YA WCB...............
![]() | |
Msanii wa mziki wa kizazi kipya rich mavoko asaini rasmi katika kampuni ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Dimond Platnum. |
Kampuni hiyo ya WCB kabla ya kumsainisha rich mavoco ilikua tayari imeshawasainisha wasanii wengine wawili wanao chipukia ambao ni Harmonize ambae tayari ananyimbo mbili zinazofanya vizuri kwa sasa nyimbo hizo ni Aiyola,na Bado, huku mwenzake Raymond akiwa na nyimbo mbili pia ya kwanza inaitwa huku kwetu, na ya pili Natafuta kick.
Mmiliki wa kampuni hiyo ya WCB aliandika haya katika akaunti yake ya facebok huku akiambatanisha na picha hii "welcome rich mavoco let us take bongo fleva to the world,, aliandika dimond platnum.
Kusainiwa kwa msanii huyo rich mavoco katika lebo hiyo anakua ndiye msanii wa kwanza mkogwe kusainiwa na lebo hiyo ya WCB..
Alhamisi, 26 Mei 2016
ANTONIO CONTE ACHAFUA HALI YA HEWA NDANI YA CLUB YA CHELSEA.............
![]() | |
Meneja mpya wa klabu ya chelsea Antonio Conte Achafua Hali ya Hewa Stamford Brigder, baathi ya wachezaji hawajui Hatma Zao, |
Wakala wa mshambuliaji huyo aliyesajiliwa huko Stamford Bridger mwezi januari mwaka 2016, Gilmar Veloz amesema mpaka sasa wanasubiri maamuzi ya Conte ambaye yupo na kikosi cha timu ya taifa ya italia kwa ajili ya kujiandaa na fainali za Euro 2016.
veloz, amesema tumaini lake kubwa kwa mshambuliaji huyo lipo mikononi mwa meneja huyo kutoka Italia, kutokana na kuamini bado kuna uwezekano wa pato kuendelea kubaki klabuni hapo.
Amesema anatambua Antonio conte atahitaji kuanza na mipango ya kuwatumia wachezaji atakao wasajili na wale watakaobaki kikosini, hivyo anaamini pato ni miongoni mwa watakaosubiri kauli ya mwisho ya mwitaliano huyo.
Hata hivyo baadhi ya wachezaji wa chelsea wameshajihakikishia nafasi ya kuendelea kubaki klabuni hapo, huku wengine wakitambua fika hawana nafasi ya kucheza soka ndani ya club hiyo ya chelsea.
Mshambuliaji kutoka nchini hispsnia Diego costa anamatumaini makubwa ya kuendelea kusalia kwenye club hiyo, licha kuhusishwa na taarifa za kutakiwa na club yake ya zamani ya Atletico Madrid,huku mshambuliaji kinda Betrand Traore akiwa na matumaini kama hayo kufuatia uwezo wa kufunga mabao manne aliouonyesha wakati wa msimu wa 2015-16.
Mshambuliaji kutoka nchini Colombia, aliyekua akicheza kwa mkopo klabuni hapo Radamel Falcao tayari imeshafahamika anaondoka na kurejea katika klabu yake ya AS monaco ya Ufaransa huku kukiwa na mashaka kwa mshambuliaji Lic Remy.
Pia kumekua na majina na majina ya washambuliaji wanaotajwa huenda wakasajiliwa klabuni hapo kama mshambuliaji SSC Napoli Gonzalo Higuain na Antoine Griezmann wa Atletico Madrid...
VICTOR WANYAMA AFANAYA MAAMUZI MAGUMU NA KUWASHANGAZA VIONGOZI WA CLUB YA SOUTHAMPTONI.........................
![]() | |
Kiungo wa club ya southamptoni,anaetokea nchini kenya, Victor Wanyama , Afanya maamuzi mazito na kuwashangaza Viongozi wa club hiyo. |
Wanyama amefanya maamuzi hayo , huku ikifahamika aliyekua meneja wa the saint, Mauricio pochettino anahitaji kuona akikamilisha harakati za kumsajili wakati wa dirisha la usajili ili wawe wote Tttenham Hotspurs.
kiungo huyo mwenye umri wa miaka 24, amesaliwa na mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu ya southampton ambayo ilimsajili akitokea celtic mwaka 2013 kwa ada ya pauni millioni 12.5.
Kutokana na hatua hiyo uongozi wa The saint kwa sasa unasubiri ofa yoyote itakayomlenga kiungo huyo na tayari wameshaweka wazi thamani yake kwa kitaja kiasi cha pauni millionib25.
Klabu bigwa nchini England Leicester city , pia inatajwa kuwa katika mlolongo wa kutuma ofa St Marys, ili kuangalia uwezekano wa kumsajili wanyama.
Wanyama, anapigiwa upatu wa kusajiliwa huko king power stadium, ili kuwa sehemu ya mbadala wa kiungo kutoka nchini ufaransa NGolo kante ambaye amegoma kusaini mkataba mpya...
MABIGWA WA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA LEICESTER CITY , WAKUBALI KUMWACHIA MSHAMBULIAJI WAO MMOJA KWA CLUB YA NCHINI UJERUMANI....
![]() | |
Mabigwa wapya wa soka Nchini England Leicester City Wakubali kumuachia Mshambuliaji Aliyewasababishia Gharama kubwa za usajili Mwanzoni mwa msimu huu . |
Leicester city wametoa baraka za kuondoka kwa kramaric, baada ya kukamilisha mazungumzo ya biashara na uongozi wa klabu ya Hffenheim ya nchini ujerumani.
Kramaric alisajiliwa na The foxes mwaka 2015, akitokea kwenye klabu ya HNK Rijeka ya nchini Croatia kwa ada ya uhamisho wa pauni millioni 9.7, lakini mwezi januari alipelekwa kwa mkopo nchini ujherumani katika klabu ya hoffenheim.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24, ameuzwa kwa bei ya hasara ya pauni milioni 8, na amekubali kusaini mkataba wa miaka minne na klabu ya hoffenheim.
Kramaric, alilazimika kuondoka king power stadium wakati wa dirisha dogo la usajili, kufuatia kushindwa kupata nafasi ya kucheza kila mwishoni mwa juma, na kwake kutokana na uwezo wa washambuliaji wengine klabuni hapo.
Uongozi wa Hffenheim, umefikia maamuzi ya kumsajili moja kwa moja Kramaric, baada ya kuridhishwa na uwezo wake kisoka ambao ulisaidia kuinusuru klabu hiyo isishuke daraja msimu wa 2015-16.
CHIDI BENZ AKIMBIA SOBER HOUSE BAADA YA KUKAA KWA SIKU 28 PEKE YAKE...........
![]() | |
Msanii wa kizazi kipya Chid Benz anadaiwa kutoroka sober house baada ya kukaa kwa siku 28. |
taarifa mpya ni kwamba rapa huyo ametoroka katika jumba hilo baada ya kukaa kwa siku 28 pekee.
Akizungumza na Global Publishers meneja wa kituo hicho,Tumaini Majura, amedhibitisha kuondoka kwa chidi akiwa bado anaendelea kupatiwa matibabu.
''Ni siku 28 tu alikaa, lakini alitakiwa kukaa kwa muda wa angalau miezi mitatu ili kurudi katika hali yake ya kawaida,,alisema Tumaini.
Aliongeza ''Nafikiri ni uamuzi wake binafsi maan siku moja meneja wake [Babu Tale] alikuja kumjulia hali, alipotaka kuondoka alingangania kuondoka nae.sisi pamoja na tale tulimsihi sana kubaki lakini alikataa,,
Pia Global walimtafuta chid Benz, alipopatikana alikataa kuzungumzia suala hilo huku akisisitiza kuwa lolote kuhusu yeye atafutwe Babu Tale.
Babu tale alipoulizwa kuhusu mwala hilo alisema'' sitaki kusikiliza wala kuzungumza lolote kuhusu Chid,muda ukifika nitaongea ila kwa sasa niacheni tu,,
Jumatano, 25 Mei 2016
MANCHESTER UNITED WAPATA KIGUGUMIZI KUMTANGAZA JOSE MORINHO KAMA MENEJA MPYA WA MAN UNITED....
![]() | |
Klabu ya Manchester united yapata kugugumizi kumtangaza Jose Morinho rasmi kuwa kocha mpya wa club hiyo, kutokana na changamoto zinazowakabili kwa sasa. |
Morinho alianza kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu hiyo ya mjini Manchster mwishoni mwa juma lililopita, na amekubali kupokea mshahara wa pauni milioni 60 kwa mwaka .
Taarifa hizo zimeeleza kwamba huenda hii leo, pande hizo mbili zikasaini mkataba huo kabla ya kutangazwa kwa Jose Morinho kama meneja rasmi wa Man utd..
WEMA SEPETU AELEZA MACHUNGU ANAYOYAPATA KWA SABABU YA KUTOPATA MTOTO KWA KUPITIA MTANDAO WA INSTAGRAM
![]() | |
Msanii wa bongo movie nchini Wema Sepetu , ameandika ujumbe kwa kupitia mtandao wa kijamii wa instagram juu ya maumivu anayoyapata kutokana na kutokupata mtoto, |
Wasanii wenzake na baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimpa faraja kila kukicha kuhusiana na swala hilo.
''iko siku na mimi mtaitwa mama,, ameandika kupitia ukurasa wake wa instagram akiambatanisha na picha aliyokumbatiana na mam yake.....
NEY WA MITEGO ATAJA LISTI YA WASANII WA KIKE WA BONGO MOVIE WANAO ONGOZA KUWACHAKAZA WASANII WA BONGO FLEVA WA KIUME WANAOCHIPUKIA..
![]() | |||
Msanii wa kizazi kipya Ney wa Mitego amesema kuwa wasanii hawa wa bongo movie , Nisher, Wolper, na Shilole ndiyo wanawachakaza wasanii wa bongo fleva wa kiume ambao wanachipukia na kufanya vizuri , |
Jumanne, 24 Mei 2016
PEP GUARDIOLA AANZA MIPANGO YA KUKISUKA UMPYA KIKOSI CHA MANCHESTER CITY......
Gundogan, bado ana mkataba na klabu ya Borussia Dormund hadi mwaka 2017.
Ada yake ya uhamisho inatajwa kuwa Euro milioni 2 kama mgao wake ulioainishwa kwenye mkataba...
Ijumaa, 20 Mei 2016
Jumanne, 17 Mei 2016
MKAZI WA KATA YA KAFUNZO WILAYANI SENGEREMA JIJINI MWANZA, JAMES MGAMBO [71] AMEUWAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA WATU WASIO JULIKANA..
MSANII GIGY MONEY ATAKA KUWEKA REKODI KWA WANAUME WAZURI WOTE BONGO....
Jumatano, 4 Mei 2016
BUNDUKI ZA KIVITA ZAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI TANGA ZILIZOTUMIKA KUFANYA UHALIFU......
HILI NDILO KABURI ATAKALOPUMZISHWA MWANAMUZIKI PAPA WEMBA KABURI HILI LIMEJEGWA NJE KIDOGO YA MJI WA KINCHASA
HAYA NDIYO MANENO ALIYOYASEMA ROMA KUHUSU AINA YA MZIKI ANAO UFANYA.....
MWILI WA NGULI WA MUZIKI BARANI AFRIKA PAPA WEMBA KUPUMZISHWA LEO KATIKA NYUMBA YAKE YA MILELE...
CLUB YA CHELSEA YAZINDUA JEZI RASMI ITAKAYOTUMIKA MSIMU UJAO KATIKA MECHI ZAKE ZA NYUMBANI....
USIKU WA ULAYA KUENDELEA LEO KATIKA HATUA YA NUSU FAINALI,MANCITY USO KWA USO NA REAL MADRID
CLUB YA LIVERPOOL YAJENGA UWANJA UTAKAO KUA WANNE KWA UKUBWA NCHINI WINGEREZA
RONALDO ASILIMIA MIA MOJA FIT TAYARI KUWAKABILI MANCHESTER CITY KATIKA MECHI YA NUSU FAINALI YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA ,
VIJANA WA DIEGO PABLO SIMEONE ,ATLETICO MADRID HATIMAE WAFANIKIWA KUTINGA HATUA YA FAINALI KATIKA MICHUANO YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA, UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Jumanne, 3 Mei 2016
USIKU WA ULAYA KUENDELEA LEO, BAYERN MUNICH USO KWA USO NA ATLETICO MADRID KATIKA DIMBA LA ALIANCE ARENA NCHINI UJERUMANI.
HATIMAE NDOTO YAKAMILIKA LEICESTER CITY, THE FOXES MABIGWA WAPYA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA 2015,2016....
Alhamisi, 28 Aprili 2016
TAIFA STARS KUCHUANA NA HARAMBEE STARS KATIKA MECHI YA KIRAFIKI IKIWA NI MOJA YA MAANDALIZI YA MICHUANO YA KUWANIA KUFUZU KWA FAINALI ZA MATAIFA AFRIKA MWEZI JUNI.
ATLETICO MADRID YAJIWEKA NAFASI NZURI KUTINGA FAINALI YA MICHUANO YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUPATA USHINDI WA GOLI MOJA KWA BILA DHIDI YA BAYERN MUNICH .
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)