![]() | |
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa na mumewe Raphael kazembe tena kwa kutumia khanga mkoani shinyanga kisa kikuu kikiwa ni wivu wa mapenzi. |
Mtuhumiwa alikimbia baada ya tukio hili na mpaka sasa polisi wanaendelea na juhudi za kumsaka kokote aliko,mwenyekiti wa mtaa huo bwana Edward Mihayo anasema taarifa zilimfikia kutoka kwa wanamtaa baada ya kushuhudia maiti ya rehema ikiwa imenyongwa kwa kanga.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni