![]() | |
Klabu ya liverpool yakamilisha usajili wa mshambuliaji Saido Mane,kutoka Sothampthon kwa ada ya Euro million 30. |
Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne ambao utamweka klabuni hapo mpaka mwaka 2021,usajili huo ni wa kwanza kufanywa na klabu hiyo ya liver pool yenye maskani yake katika jiji la liverpool nchini wingereza ikiwa ni moja ya harakati za kuiboresha klabu hiyo katika msimu ujao wa ligi, kwani itakumbukwa katika msimu uliopita club hiyo ilimaliza ikiwa katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini Wingereza,
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni