C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 29 Juni 2016

CLUB YA LIVERPOOL YAKAMILISHA DILI LA KUMSAJILI MCHEZAJI WA SOTHAMPTON KWA KUMSAINISHA MKATABA WA MIAKA MINNE.

Klabu ya liverpool  yakamilisha usajili  wa mshambuliaji  Saido Mane,kutoka Sothampthon kwa ada ya Euro million 30.
Mshambuliaji huyo kutoka club ya sothampton anakua ni mchezaji wa pili kuuzwa na club hiyo katika dirisha hili kubwa la usajili wakanza alikua ni Victor wanyama ambae alinunuliwa na club ya Totenham hospurs, yenye maskani yake jijini london nchini wingereza.
Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne ambao utamweka klabuni hapo mpaka mwaka 2021,usajili huo ni wa kwanza kufanywa  na klabu hiyo ya liver pool yenye maskani yake katika jiji la liverpool nchini wingereza ikiwa ni moja ya harakati za kuiboresha klabu hiyo katika msimu ujao wa ligi, kwani itakumbukwa katika msimu uliopita club hiyo ilimaliza ikiwa katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini Wingereza,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni