C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatatu, 4 Julai 2016

MABASI MAWILI YA CITY BOYS YAUWA 24 MKOANI SINGIDA...

Mabasi ya  City boys yanayofanya safari zake kutoka dar es salam ,mwanza,na Shinyanga Dar es salam, yamepata ajali katika eneo la Miwani mkoani Singida na watu 24, wamepoteza maisha papo hapo na wengine wamejeruhiwa vibaya,baada ya kugongana uso kwa uso..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni