nusu fainali ya michuano ya club bigwa barani ulaya kuendelea siku ya leo ambapo club ya atletico madrid itavaana na bayern munich katika dimba la aliance arena nchini ujerumani mechi ya kwanza club ya atletico madrid ilishinda goli moja kwa sifuri hivyo club ya bayern munich inakazi ya kuhakikisha inapindua matokeo hayo ili kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali katika katika michuano hiyo ya uefa champions league mechi hiyo itachezwa 23:45 kwa saa za afrika mashariki... |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni