C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 4 Mei 2016

BUNDUKI ZA KIVITA ZAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI TANGA ZILIZOTUMIKA KUFANYA UHALIFU......


Jeshi la polisi  mkoani Tanga  lakamata bunduki  za kivita  na sare  za kijeshi zilizotumika kufanya ualfu ,jeshi hilo limefanikiwa kukamata bunduki tatu aina ya shtgun bastola  moja ,risasi 51 pamoja na mavazi ya jeshi la wananchi  ambazo zimetumika katika vitendo vya uhalifu kwa kupora fedha na mali mbalimbali kisha kkua mmoja kati ya wafanyabiashara wilayani kilindi , kamanda wa polisi  mkoani tanga kamishna msaidizi wa polisi  leonard paul amesema katika operesheni hiyo iliyofanyika katika kijiji cha kimamba  kilichopo kata ya  negero wilayani kilindi walipata taarifa kutoka kwa raia wema kua kuwa kuna mtu anaejulikana kwa jina la tabu chabai anakiwanda cha kutengeneza silaha na ndipo walipokwenda kumpekua na kukuta silaha hizo.kamanda paul amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na jeshi la polisi katika kuwakamatawaalifu, baadhi ya wakazi wa jiji la Tanga wameelezea kuwa hatua hiyo imeanza kuwapa imani na jeshi hilo hasa baada ya matukio  mfululizo ya ujambazi yaliyotokea katika wilaya za kilindi na Tanga na kusababisha watu sita kuuwawa katika wilaya hizo kwa kupigwa risasi...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni