MANCHESTER UNITED WAPO TAYARI KULIPA PAUNDI MILIONI100 KWA JUVENTUS............
Manchester united wamewaambia juventus kuwa wako tayari kulipa pauni million 100 kumsajili kiungo kutoka ufaransa paul pogba 23,na watampa mshahara wa pauni 250,000 kwa wiki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni