C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 25 Mei 2016

MANCHESTER UNITED WAPATA KIGUGUMIZI KUMTANGAZA JOSE MORINHO KAMA MENEJA MPYA WA MAN UNITED....

Klabu ya Manchester united  yapata kugugumizi kumtangaza  Jose Morinho rasmi kuwa kocha mpya wa club hiyo, kutokana na changamoto zinazowakabili kwa sasa.
Meneja mtarajiwa wa klabu ya Man utd, jose Morinho ameripotiwa kufikia makubaliano ya awali na uongozi wa klabu hiyo ya old Trafford ya kusaini mkataba wa miaka mitatu.
Morinho alianza kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu hiyo ya mjini  Manchster  mwishoni mwa juma lililopita, na amekubali kupokea mshahara wa pauni milioni 60 kwa mwaka .
Taarifa hizo zimeeleza kwamba huenda hii leo, pande hizo mbili zikasaini mkataba huo kabla ya kutangazwa kwa Jose Morinho kama meneja rasmi wa Man utd..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni