C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumamosi, 6 Agosti 2016

UONGOZI WA CLUB YA MADRID WAANZA KUMJADILI ZINEDINE ZIDANE.......................................

Club ya Real Madrid chini ya raisi wa klabu hiyo Florentino Peres imeanza mchakato wa kumjadili kocha wa muda wa club hiyo zinedine zidane aliyepewa timu baada ya kocha Rafael Benitez kufutwa kazi ya kukinoa kikosi hicho cha mabigwa wa UEFA champions league, wenye mskani yao katika jiji la madrid nchini Uhispania. 
Uongozi wa club hiyo umeanza kumjadili kocha huyo, ili kuangalia uwezekano wa kumpa mkataba wa kudumu wa kukinoa kikosi hicho cha real madrid,baada ya kuiongoza timu hiyo kwa mafanikio katika msimu uliopita na kufanikiwa kutwaa kombe la club bigwa barani ulaya maarufu kama UEFA CHAMPIONS LEAGUE......

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni