C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 14 Juni 2016

ANTONIO KONTE AMTAKA BEKI WA MANCHESTER UNITED MATHEO DAMIAN KATIAKA KLABU YA CHELSEA.......

Kocha mpya wa klabu ya chelsea Antonio Konte  anataka kumsajili beki wa kushoto wa manchester united Mateo Damian,
Kocha huyo mwitaliano  anaetarajia kuanza kazi rasmi katika klabu hiyo yenye maskani yake jijini london nchini wingereza, katika msimu ujao, ameonyesha dhamira ya kutaka kumsajili beki wa pembeni wa manchester united matheo Damiani, beki huyo aliyesajiliwa na klabu hiyo chini ya kocha Luis Vangal, aliyetimuliwa klabuni hapo mwisho wa msimu uliopita,na mikoba yake kuchukuliwa na kocha mreno jose morinho, anauwezekano mkubwa kutua katika klabu ya chelsea kutokana na mahusiano mazuri aliyonayo mchezaji huyo na kocha Antonio Konte,
Kwa sasa mchazaji huyo yupo nhini ufaransa na timu ya taifa ya italy katika fainali za EURO, timu hiyo ipo chini ya kocha antonio konte ambae ni kocha mtarajiwa wa klabu ya chelsea na kuwa pamoja kwa kocha huyo na beki huyo wa mashetani wekundu, huenda ukawa ni mwanya mzuri kwa kocha huyo kumshawishi Matheo Damian kutua Stanford bridger.
Usajili huyo unataka kufanyika ikiwa ni moja ya harakati za kocha huyo mwitaliano  kutengeneza safu ya ulinzi ya klabu hiyo ya chelsea baada ya kuonekana kutetereka katika msimu uliopita kitu kilichopelekea klabu hiyo ambao walikua ni mabigwa wa tetezi kumaliza msimu wakiwa katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi kuu nchini wingereza...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni