C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 25 Mei 2016

WEMA SEPETU AELEZA MACHUNGU ANAYOYAPATA KWA SABABU YA KUTOPATA MTOTO KWA KUPITIA MTANDAO WA INSTAGRAM

Msanii wa bongo movie nchini Wema Sepetu , ameandika ujumbe  kwa kupitia mtandao wa kijamii wa instagram juu ya maumivu  anayoyapata kutokana na kutokupata mtoto, 
Wema ni staa wa filamu aliyejizolea heshima za kutosha kutokana na umahiri wake katika kazi, lakini staa huyo analia na kukosa mtoto.
Wasanii wenzake na baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimpa faraja kila kukicha kuhusiana na swala hilo.
''iko siku na mimi mtaitwa mama,, ameandika kupitia ukurasa wake wa instagram akiambatanisha na picha aliyokumbatiana na mam yake.....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni