![]() | |
Mahakama mjini kinshasa imemuhukumu mwanamuziki Mkogwe Koffie Olomide kwenda jela miezi 18 kwa kosa la kumpiga mngenguaji wake kudhalilisha utu wa mwanamke. |
Msanii huyo ameanza kutumikia adhabu yake katika gereza moja nchini humo na wakati akiingia kwenye gereza hilo Koffie alisikika akisema siwapendi wanawake,
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni