C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Julai 2016

KOFFIE OLOMIDE ATUPWA JELA MIEZI 18 MJINI KINSHASA NCHINI CONGO............

Mahakama mjini kinshasa imemuhukumu mwanamuziki Mkogwe Koffie Olomide kwenda jela miezi 18 kwa kosa la kumpiga mngenguaji wake kudhalilisha utu wa mwanamke.
Hukumu hiyo ilitolewa juzi mjini humo imemtaja mkogwe huyo kama sugu wa makosa hayo ambayo amekua akiyatenda mara kadhaa
Msanii huyo ameanza kutumikia adhabu yake katika gereza moja nchini humo na wakati akiingia kwenye gereza hilo Koffie alisikika akisema siwapendi wanawake,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni