C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatatu, 4 Julai 2016

HAYA NDIO MANENO ALIYOYASEMA BARAKA THE PRINCE, KUMUHUSU MSANII MWENZAKE YOUNG KILLA.

Msanii Baraka the prince, amesema kua hajawai kuzipenda nyimbo za msanni mwenzake Young killa, na wala hategemei kuzipenda nyimbo za msanii huyo mwenzake,
MSanii huyo ametoa maneno hayo wakati akiwa anafanya mahojiano na kituo kimoja cha redio
Hata hivyo kauli hiyo imeonekana kupokewa katika mtazamo tofauti na mashabiki wa mziki wa kizazi kipya, wengi wameonekana kumponda msanii huyo kwa kauli hiyo aliyoitoa na kusema, young kila ni msanii mkubwa na mwenye kipaji cha aina yake, hivyo Baraka the prince bado ni msanii mchanga sana  katika tasnia ya mziki wa kizazi kipya hivyo hawezi kushindana na young killa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni