![]() |
MSanii huyo ametoa maneno hayo wakati akiwa anafanya mahojiano na kituo kimoja cha redio
Hata hivyo kauli hiyo imeonekana kupokewa katika mtazamo tofauti na mashabiki wa mziki wa kizazi kipya, wengi wameonekana kumponda msanii huyo kwa kauli hiyo aliyoitoa na kusema, young kila ni msanii mkubwa na mwenye kipaji cha aina yake, hivyo Baraka the prince bado ni msanii mchanga sana katika tasnia ya mziki wa kizazi kipya hivyo hawezi kushindana na young killa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni