C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

ATLETICO MADRID YAJIWEKA NAFASI NZURI KUTINGA FAINALI YA MICHUANO YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUPATA USHINDI WA GOLI MOJA KWA BILA DHIDI YA BAYERN MUNICH .


club ya Atletico Madrid yenye maskani yake nchini spain imefanikiwa kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya club ya bayern Munich ya nchini ujerumani mechi  hiyo ni ya pili kuchezwa katika hatua ya nusu fainali  ya michuano ya club bigwa barani ulaya ambapo mechi ya kwanza  kwanza ilikua ni kati ya Real Madrid  na Manchester  City ambapo mchezo huo ulimalizika kwa sare ya kutokufungana, mechi za marudiano zitachezwa wiki ijayo ambapo atletico  madrid watasafiri mpaka nhini Ujerumani kwa ajili ya kuwakabili bayern munich mchezo utakaopigwa katika uwanja wa alliance arena ,huku club ya manchester city wao watalazimika kusafiri mpaka nchini hispania  katika jiji la madrid ambapo watakabiliana na real madrid mchezo huo utapigwa katiaka uwanja wa santiago bernabeu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni