C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

TAIFA STARS KUCHUANA NA HARAMBEE STARS KATIKA MECHI YA KIRAFIKI IKIWA NI MOJA YA MAANDALIZI YA MICHUANO YA KUWANIA KUFUZU KWA FAINALI ZA MATAIFA AFRIKA MWEZI JUNI.

Timu ya taifa  Tifa stars  inatarajiwa kucheza  mechi ya kirafiki dhidi ya timu  ya taifa ya kenya harambee stars, mchezo huo utakua  ni sehemu ya maandalizi kwa timu zote  mbili kujiandaa na  michuano ya kuwania kufuzu kwa fainali za mataifa ya afrika mwezi juni 2016 ambapo  Taifa stars itacheza  dhidi ya misri juni 04 mwaka huu katika uwanja wa Taifa jijini  Dar es salam  TFF kwa kushirikiana na FKF zimekubaliana kuwepo kwa mchezo huo wa maandalizi kwa timu zote kujiandaa na michezo ya kuwania kufuzu kwa AFCON 2017 mwezi juni , kikosi cha  Taifa stars kinachonolewa na kocha mkuu charles Boniface  M kwasa kinatarajiwa kuingia kambini mwezi mei mara baada ya kumalizika kwa ligi kuu ya vodacom [VPL] kujiandaa na mchezo huo wa kirafiki kabla ya kuwakabili misri mwezi juni  2016 .......Chanzo  BBC...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni