C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 16 Juni 2016

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA RAPPER CHID BENZ KWA SASA BAADA YA KUPATA MATIBABU................

Huu ndiyo muonekano mpya wa sasa hivi wa rapa chid Benz, aliekua akipata matibabu kutokana na kuadhiriwa na dawa za kulevya
Msanii huyo wa muziki wa kizazi kipya nchini afya yake imeonekana kuwa nzuri baada ya kupelekwa Sober House ambacho ni kituo kinachotoa huduma kwa watu walio adhiriwa na madawa ya kulevya , rapper huyo alikaa kituoni hapo na kupatiwa matibabu kwa mwezi mmoja na baadae kuruhusiwa baada ya afya yake kurudi katika hali ya kuridhisha,
Hata hivyo meneja wa kundi la Tiptop connection Babu tale ndiye mtu aliejitolea kwa hali na mali kuhakikisha msanii huyo anarudi katika afya yake ya kawaida na kuweza kuendelea na shuhuli zake za muziki,.
Sambamba na hilo msanii huyo baada ya kupona sasa atakua anasimamiwa  na Meneja Babu tale katiaka kazi zake za mziki kwa sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni