![]() | |
Msanii wa mziki wa kizazi kipya rich mavoko asaini rasmi katika kampuni ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Dimond Platnum. |
Kampuni hiyo ya WCB kabla ya kumsainisha rich mavoco ilikua tayari imeshawasainisha wasanii wengine wawili wanao chipukia ambao ni Harmonize ambae tayari ananyimbo mbili zinazofanya vizuri kwa sasa nyimbo hizo ni Aiyola,na Bado, huku mwenzake Raymond akiwa na nyimbo mbili pia ya kwanza inaitwa huku kwetu, na ya pili Natafuta kick.
Mmiliki wa kampuni hiyo ya WCB aliandika haya katika akaunti yake ya facebok huku akiambatanisha na picha hii "welcome rich mavoco let us take bongo fleva to the world,, aliandika dimond platnum.
Kusainiwa kwa msanii huyo rich mavoco katika lebo hiyo anakua ndiye msanii wa kwanza mkogwe kusainiwa na lebo hiyo ya WCB..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni