C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 4 Mei 2016

HILI NDILO KABURI ATAKALOPUMZISHWA MWANAMUZIKI PAPA WEMBA KABURI HILI LIMEJEGWA NJE KIDOGO YA MJI WA KINCHASA

Hili ndilo kaburi atakalozikwa nguli wa mziki barani afrika papa wemba ,kaburi hili liko pembeni kidogo ya mji wa kinchasa nchini kongo mwanamuziki huyo alikutwa na mauti nchini ivory coast alipokua akitumbuiza na kuanguka jukwaani na  kupoteza maisha  muda mfupi baadae....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni