C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 3 Mei 2016

HATIMAE NDOTO YAKAMILIKA LEICESTER CITY, THE FOXES MABIGWA WAPYA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA 2015,2016....

club ya leicester  city wametangazwa rasmi kua mabigwa wapya  wa EPL mwaka 2015,2016 baada ya jana club ya tothamhospurs kulazimishwa sare ya goli 2-2 na chelsea katika uwanja wa stanford bridger  amabpo ,Eden hazard ndiye mchezaji aliye wanyima ubigwa spurs baada ya kusawazisha goli dakika ya 85 na matokeo kua mbili,mbili ,club ya leicester city kutwaa ubigwa huo wa epl ni historia pekee kwa club hiyo na pia kwa kocha wao claudio raniery , kwani taji hilo la epl ni taji kubwa kabisa kwa kocha huyo kuwahi kulitwaa katika kazi yake ya ukocha......

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni