C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 24 Mei 2016

PEP GUARDIOLA AANZA MIPANGO YA KUKISUKA UMPYA KIKOSI CHA MANCHESTER CITY......

kocha mpya wa club ya manchester city, yenye maskani yake katika jiji la manchester, nchini wingereza ameanza kazi ya kukitengeneza kikosi hiko, kwa kuanza harakati za usajili , taarifa zinasema muhispaniola huyo, ameanza mipango ya kumsajili kiungo  IIkay Gundogan.  
kiungo huyo kutoka nchini ujerumani  amekua  kivutio kikubwa cha meneja  huyo kutoka nchini  Hispania na alikaribia kusaini mkataba  na Man city mwezi  uliopita, lakini kikwazo kikawa majeraha ya goti yaliyomkabili.
Gundogan, bado ana mkataba na klabu ya Borussia  Dormund hadi mwaka 2017.
Ada yake ya uhamisho inatajwa kuwa Euro milioni 2 kama mgao wake ulioainishwa kwenye mkataba...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni