C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Julai 2016

KLABU YA VILLARREAL YAKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI KUTOKA CHELSEA......................................

Klabu ya Villarreal ya nchini Hispania imedhibitisha kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Brazil ,Alexandre pato
Villarreal wamekamilisha usajili wa mshambuliaji huyo ambae mwanzoni mwa mwaka huu alisajiliwa kwa mkopo na klabu ya chelsea yanchini wingereza akitokea Corithians ya nchini Brazil.
Taarifa zilizochapishwa kwenye tovuti ya klabuhiyo ya El Madrigal zimeeleza kuwa pato amesaini mkataba wa miaka minne.
Hata hivyo haikuelezwa ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kama ada ya usajili wa mshambuliji huyo mwenye umri wa miaka 26, ambaye aliwahi kutamab na klabu ya AC milani ya nchini italia kuanzia mwaka 2007-2012.
Klabu ya sevilla cf ya nchini Hispania nayo ilikua inahusishwa na kutaka kumsajili Pato.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni