C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 17 Mei 2016

MKAZI WA KATA YA KAFUNZO WILAYANI SENGEREMA JIJINI MWANZA, JAMES MGAMBO [71] AMEUWAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA WATU WASIO JULIKANA..

Mtu mmoja ambae ni mkazi wa kata ya kafunzo wilayani serengeti ,James Mgambo  mwenye umri wa miaka 71 ameuwawa kwa kukatwakatwa na mapanga na watu wasiojulikana ,ofisa Mtendaji wa kijiji cha Bilulumo ,said makelemo amesema mapanga mawili yaliyo aminika kutumika yalikutwa eneo la tukio,kwa mujibu wa Diwani wa kata ya kafunzo ,Dotto Bulunda ,mke wa mgambo  aliyetajwa kwa jina la nyangalo mansisa mwenye umri wa miaka 65 alijeruhiwa katika tukio hilo na amelazwa hospitali ya wilays ya sengerema , chanzo cha mauaji hayo hakijajulikana na polisi wamefika kwa ajili ya uchunguzi alisema Bulunda ofisa mtendaji wa kijiji cha  Bilulumo saidi makelemo alisema mapanga mawili yanayoaminika kutumika yalikutwa eneo la tukio mmoja wa majirani wa familia hiyo lameck kasabulilo alisema hawakusikia kelele za kuomba msaada .kwa mujibu wa msemaji wa familia hakimu Elisha, mazishi ya mgambo yanatarajiwa kufanyika leo katika makaburi ya ukoo yaliyopo kijijini hapo. mganga mkuu wa  hospitali teule wilaya ya serengerema Dk  mary jose alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa  chumba  cha kuhifadhi  maiti , huku hali ya  majeruhi ikiendelea vizuri  . mkuu wa wilaya sengerema , zainab Telack alisema tayari uchunguzi wa kina wa kuhusu  tukio hilo  umeanza na kuapa wahusika watasakwa na kutiwa mbaroni..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni