C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 25 Mei 2016

NEY WA MITEGO ATAJA LISTI YA WASANII WA KIKE WA BONGO MOVIE WANAO ONGOZA KUWACHAKAZA WASANII WA BONGO FLEVA WA KIUME WANAOCHIPUKIA..

Msanii wa kizazi kipya  Ney wa Mitego  amesema kuwa wasanii hawa wa bongo movie , Nisher, Wolper, na Shilole ndiyo wanawachakaza wasanii wa bongo fleva wa kiume ambao wanachipukia  na kufanya vizuri ,


Msanii huyo ambae anatamba sasa hivi na nyimbo yake inayoitwa saka hela, amekua ya desturi ya kutoa nyimbo zenye maneno ya kejeli kwa wasanii wenzake, moja ya nyimbo hizo ikiwa ni pamoja na shika adabu yako aliyoifanya chini ya producer T toucher, pamoja na nyimbo zingine nyingi..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni