C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumamosi, 6 Agosti 2016

ZIMESALIA SIKU KUMI KABLA YA KUANZA TENA KWA MSIMU WA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA[ EPL]..........,,,,,

Zimebaki siku kumi pekee kabla ya kuanza tena kwa msimu mpya wa English premier League[EPL] ya nchini wingereza ,amabapo kwa msimu huu ligi hiyo inatarajiwa kuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kua na makocha wenye viwango vya juu katika ufundishaji wa soka.
Miongoni mwa makocha hao wanaotarajiwa kuleta upinzani wa hali ya juu katika ligi hiyo nchini wingereza ni pamoja na Jose Morinho wa Manchester united, Pep Guardiola wa Manchester city, Antonio conte wa Chelsea pamoja na Jorgen Klopp wa Liver pool.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni