C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 16 Juni 2016

WABUNGE WA CHAMA CHA MAPINDUZI[ CCM]WAPENDEKEZA KUONGEZWA KWA SHILINGI 50 KATIKA KILA LITA YA MAFUTA....

Wabunge wa chama cha mapinduzi ccm wataka shilingi 50 iongezwe katika kila lita ya mafuta nchini.
Wabunge hao wa chama hicho tawala wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu walipopinga vikali zoezi la kukatwa kodi katika fedha zao za kiinua mgongo [penssen] wakidai kua hawana fedha yoyote wanayoitegemea ili kuendesha maisha yao baada ya kuustaafu tofauti na hiyo na kuongeza kua muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitano peke yake.
wawakilishi hao wa wananchi katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wametoa pendekezo hilo bungeni ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa wabunge wa vyama vya upinzani wameweka mgomo wa kuto udhuria vikao vya bunge kwa madai ya kutokua na imani na spika wa bunge hilo la jamuuri ya muungano wa Tanzania.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni