C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 4 Mei 2016

VIJANA WA DIEGO PABLO SIMEONE ,ATLETICO MADRID HATIMAE WAFANIKIWA KUTINGA HATUA YA FAINALI KATIKA MICHUANO YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA, UEFA CHAMPIONS LEAGUE

hatimae club ya atletico madrid yafanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya kupata goli la ugenini lililowekwa kimiani na mshambuliaji wa club hiyo antonio creizman, baada ya bayern kupata goli la kuongoza na mpaka mwisho wa mechi hiyo bayern 2- 1 atletico na matokeo ya jumla kua ni bayern 2-2 atletico madrid..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni