C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 21 Juni 2016

MHARIRI WA GAZIETI LA DIRA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA GAZETI HILO KUTOA HABARI ZISIZO ZA KWELI..

Mhariri wa Gazeti la Dira afikishwa kituo cha polisi baada ya Gazeti hilo kuandika taarifa potofu ya kuibiwa kifaru cha  JWTZ.
Tangu juzi kumekuwapo na taarifa za kuibiwa kifaru cha jeshi la wananchi wa Tanzania Zilizoripotiwa na Gazeti la Dira.
jana JWTZ imekanusha taarifa hizo na kulitaka gazeti hilo kukanusha na kuomba radhi mara moja kwa kutoa taarifa za uongo kwa uma.
Taarifa mpya leo ni kwamba jeshi la polisi nchini linamshikilia mhariri wa Gazeti la Dira kwa mahojiano zaidi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni