![]() | |
Mhariri wa Gazeti la Dira afikishwa kituo cha polisi baada ya Gazeti hilo kuandika taarifa potofu ya kuibiwa kifaru cha JWTZ. |
jana JWTZ imekanusha taarifa hizo na kulitaka gazeti hilo kukanusha na kuomba radhi mara moja kwa kutoa taarifa za uongo kwa uma.
Taarifa mpya leo ni kwamba jeshi la polisi nchini linamshikilia mhariri wa Gazeti la Dira kwa mahojiano zaidi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni