C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 13 Julai 2016

KLABU YA CHELSEA YAZINDUA RASMI JEZI ITAKAYOTUMIKA KATIKA MSIMU UJAO WA LIGI KWA MECHI ZA UGENINI...........

klabu ya chelsea yenye maskani yake jijini london nchini wingereza yazindua rasmi jezi itakayo tumika katika mechi zake za ugenini.
klabu hiyo amabyao kwa sasa inaongozwa na kocha mpya Antonio conte baada ya kutimuliwa kwa kocha wa awali Jose morinho ipo katika maandalizi ya kujiandaa na msimu ujao wa ligi kuu nchini wingereza, imezindua rasmi jezi hiyo itakayo tumika  katika mechi zake zote za ugenini kwa msimu ujao wa 2016-2017...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni