C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumatano, 4 Mei 2016

RONALDO ASILIMIA MIA MOJA FIT TAYARI KUWAKABILI MANCHESTER CITY KATIKA MECHI YA NUSU FAINALI YA CLUB BIGWA BARANI ULAYA ,

Mshambuliaji wa club ya real madrid cristiano ronaldo ameruhusiwa rasmi na madaktari wa club hiyo kucheza mechi ya leo kati ya real madrid na manchestar city ,awali mshambuliaji huyo alikosa mechi ya kwanza iliyopigwa katika dimba la ETHAD STADIUM jijini manchester , na mechi hiyo kuisha kwa sare ya bila kufungana.mechi hiyo ya marudiano inachezwa leo katika dimba la santiago bernabeu nchini spain na itachezwa majira ya  saa 23:45 kwa saa za afrika ya mashariki..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni