C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Julai 2016

RAPA NAY WA MITEGO ADAI ATAWAMIS......

Rapa Nay wa mitego ambae amefungiwa kujihusisha na shuhuli za muziki na Baraza la sanaa nchini BaSATA, amefunguka na kudai kuwa atazimiss shuhuli alizokua anazifanya.
Kupitia ukurasa wake wa istagram, rapa huyo ameweka picha akiwa jukwaani na kuandika ujumbe uliosomeka "daa nitazimiss sana hizi.
Basata imemfungia rapa huyo kwa kipindi amabacho hakijajulikana, mpaka pale watakapojiridhisha kwamba amebadilika ikiwemo kujisajili kufanya shuhuli za sanaa nchini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni