C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

MAMA MARIA NYERERE MJANE WA RAIS WA KWANZA WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI.

Mjane wa Rais wa kwanza  wa Tanzania  Baba  wa Taifa  Julius kambarage  nyerere pamoja na mwanae Mh. makongoro na msaidizi wake wametembelea  Daraja  jipya la julius  nyerere  kigamboni  Ameshukuru  Rais Magufuli  kwa kuamua  Daraja hilo liitwe  Daraja  la  Nerere kwa heshima ya baba wa taifa Mama maria amabe hakujali mvua kubwa iliyokua inanyesha alionekana mwenye furaha kufika darajani hapo kwani ndoto ya miaka mingi iliyoanzishwa  na hayati mumewe imetimia .kwani amesema ni jambo amablo limemfariji sana kwani vizazi vya sasa na vijavyo vitamkumbuka muhasisi wa Taifa hili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni