C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

KITI CHA SPIKA WA BUNGE CHASEMA IPO HAJA YA KUFANYA MAREKEBISHO YA SHERIA NA KANUNI ZA BUNGE ILI KILA MMBUNGE APATE POSHO KULINGANA NA KAZI ALIYOIFANYA.

Kiti cha spika wa Bunge kimesema ipo haja ya kufanya marekebisho ya sheria pamoja na kanuni ili kila mbunge apate posho kulingana na kazi aliyofanya bungeni badala ya utaratibu wa sasa wa kuangalia  mahudhurio pekee ,aidha kimewataka wabunge kubadili na kuacha tabia ya kuchukua posho za vikao  vya bunge bila kuzitolea jasho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni