C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

MBUNGE WA KIGOMA MJINI ZITTO KABWE AIBUKA NA KUSEMA CCM NI ILE, ILE.......

Mbunge wa wa kigoma mjini kupitia chama cha  ACT  wazalendo  Zitto Kabwe ameibuka na kusema chama cha mapinduzi CCM ni kile kile  siku  zote  zitto kabwe amesema  hayo baada ya kusoma vitabu vya bajeti  ya mwaka huu na kusema bajeti hiyo ni ya kulipa deni la taifa, kwa mujibu wa zitto kabwe  amedai kuwa serikali inatarajia kukusanya shilingi trillioni 17 kwa mwaka na kusema  zaidi ya trilioni 8 zitakwenda kulipa deni la Taifa ambalo ni zaidi ya asilimia 50 ya bajeti na kusema ukichanganya na mishahara ya watumishi ambayo huwa ni  nusu ya bajeti ni dhairi kwamba makusanyo ya serikali yataishia kilipa madeni na wafanyakazi , nimemaliza kusoma vitabu vya bajeti ya mwaka huu. kimsingi ni  Bajeti  ya kulipa deni la Taifa . wakati serikali inatarajia kukusanya shilingi trillion 17 mwaka huu shillingi trillioni 8 ikiwa ni asilimia 50 italipia deni la Taifa . ukiweka na mishahara ya watumishi ambayo huwa ni nusu ya bajeti ,ina maana makusanyo yote  ya serikali yatalipia madeni na mishahara . ndiyo maana serikali inaenda kukopa zaidi ya shilingi  trilioni 7 mwaka huu na kutegemea misaada ya wafadhili kwa shillingi trillion 5. ccm ni ileile  .....aliandika Zitto Kabwe.....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni