C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 28 Aprili 2016

MSANII KALA JEREMIAH AMESEMA HAONI SABABU YA KUPENYA KIMATAIFA KWANI HATA SOKO LA NDANI BADO HAJALIMALIZA

Msanii wa kizazi kipya kala Jeremiah  ameibuka na kusema kwa wakati huu haoni sababu ya yeye kuangaaika  kupenya kimataifa kwani bado hata soko la ndani hajalimaliza,msanii huyo kipaji chake kilianza kungaa katika mashindano ya kumtafuta mwanamuziki mwenye kipaji  bongo star search [BSS] ambapo kuanzia hapo ndicho nyota ya msanii huyo  ilipoanza kungaa na kufanya vizuri katika tasnia ya mziki wa kizazi kipya hapa nchini..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni