C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 5 Aprili 2016

ANTONIO CONTE ATANGAZWA RASMI KUA KOCHA WA CLUB YA CHELSEA MSIMU UJAO,KWA KUSAINI MKATABA WA MIAKA MITATU

Hatimae  Antonio konte ametangaza kuwa kocha rasmi wa club ya chelsea yenye makazi yake jijini London nchini wingereza  kocha huyo alitangazwa rasmi  jana jumatatu kua kocha mpya wa club hiyo ya chelsea kwa kusaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia club hiyo,kocha huyo anatarajiwa kujiunga na club hiyo msimu ujao, kwani kwa sasa kocha huyo yupo na timu ya Taifa ya Italy ambayo itashiriki michuano ya euro  2016 ......

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni