C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 26 Aprili 2016

JE LEISTER CITY ITAFANIKIWA KUPATA MATOKEO MBELE YA CLUB YA MANCHESTER UNITED HUKU IKIMKOSA MSHAMBULIAJI WAKE TEGEMEZI?

club ya leister city inayo ongoza msimamo wa ligi kuu nchini wingereza inakabililiwa na mchezo mgumu wikiend hii thidi ya manchester united baada ya kuibuka na ushindi wa magoli manne kwa bila dhidi ya swansea city wikiend iliyopita huku ikiwa haina mshambuliaji wake tegemezi vamie vady ambae pia ndie kinara wa ufungaji wa magoli kwenye ligi kuu nchini wingereza mpaka sas, hata hivyo wasiwasi kwa mashabiki wa club hiyo ni kua je club hiyo itaweza kupata matokeo wikiend hii pasipo kua na mshambuliaji wake vamie vady , mpaka sasa michezo ya ligi kuu nchini wingereza imebaki mitatu huku club hiyo ya leistercity wakiwa ndio vinara wanao ongoza ligi hiyo wakifuatiwa na club ya tothamhospurs wanaoshika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni