C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 21 Aprili 2016

TUCTA YAPINGA MPANGO WA RAISI JOHN POMBE MAGUFULI KUKATA MISHAHARA KWA BAADHI YA WAKURUGENZI WA TAASISI ZA UMMA.

TUCTA imepinga  mpango  wa rais  Magufuli  kukata mishahara ya baadhi ya wakurugenzi wa Taasisi  za  umma kutoka milioni 40 mpaka milioni 15 , naibu katibu mkuu wa TUCTA  Hezron kaaya amesema uamuzi huo ni kinyume  na sheria  na utaligharimu Taifa iwapo wahusika wataamua kwenda mahakamani kupinga mishahara yao kupunguzwa......

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni