TUCTA imepinga mpango wa rais Magufuli kukata mishahara ya baadhi ya wakurugenzi wa Taasisi za umma kutoka milioni 40 mpaka milioni 15 , naibu katibu mkuu wa TUCTA Hezron kaaya amesema uamuzi huo ni kinyume na sheria na utaligharimu Taifa iwapo wahusika wataamua kwenda mahakamani kupinga mishahara yao kupunguzwa...... |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni