C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Jumanne, 5 Aprili 2016

CLUB YA MANCHESTER UNITED YAFANIKIWA KUPUNGUZA TOFAUTI YA POINT KATI YAO NA MAHASUMU WAO CLUB YA MANCHESTER CITY NA KUBAKI TOFAUTI YA POINT MOJA....


Hii ndio tofauti ya point kati ya manchester  united na mancherster city baada ya club hiyo ya man united kushinda michezo mitatu mfululizo bila kupoteza ,ambapo wikiend iliyopita walifanikiwa kuichapa everton goli moja kwa bila  goli lililofugwa na antony martial na kufanikiwa kufikisha point 53  wakiwa katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa ligi..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni