C E O OF BMG

- Black generation media Group [ BMG]
- FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.
Jumatano, 29 Juni 2016
CLUB YA CHELSEA IPO KATIKA HATUA ZA MWISHO KUKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI KUTOKA OLYMPIC MARSEILLE YA NCHINI UFARANSA
![]() | |
Club ya Chelsea yenye maskani yake jijini london nchini Wingereza ipo katika hatua za mwisho kumsajili Mshambuliaji kutoka club ya Olmpic Marseille, Batshuayi kwa ada ya Euro million 33. |
Mchezaji huyo anatarajia kujiunga na mbelgiji mwenzake Eden hazard katika klabu hiyo ya chelsea katika msimu ujao.
Usajili huo ni wa kwanza kufanywa na club ya chelsea kwa msimu huu chini ya kocha mpya Antonio Conte, ikiwa ni moja ya harakati za kukiboresha kikosi cha club hiyo, kwani msimu uliopita haukua mzuri sana kwa club hiyo, iliyokua ikifundishwa na kocha jose morinho aliyetimuliwa klabuni hapo baada ya club hiyo kupata matokeo mabaya, kitu kilichopelekea kumaliza katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini wingereza na kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya klabui bigwa barani ulaya katika msimu ujao.
CLUB YA LIVERPOOL YAKAMILISHA DILI LA KUMSAJILI MCHEZAJI WA SOTHAMPTON KWA KUMSAINISHA MKATABA WA MIAKA MINNE.
![]() | |
Klabu ya liverpool yakamilisha usajili wa mshambuliaji Saido Mane,kutoka Sothampthon kwa ada ya Euro million 30. |
Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne ambao utamweka klabuni hapo mpaka mwaka 2021,usajili huo ni wa kwanza kufanywa na klabu hiyo ya liver pool yenye maskani yake katika jiji la liverpool nchini wingereza ikiwa ni moja ya harakati za kuiboresha klabu hiyo katika msimu ujao wa ligi, kwani itakumbukwa katika msimu uliopita club hiyo ilimaliza ikiwa katika nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi kuu nchini Wingereza,
Jumanne, 21 Juni 2016
MHARIRI WA GAZIETI LA DIRA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA GAZETI HILO KUTOA HABARI ZISIZO ZA KWELI..
![]() | |
Mhariri wa Gazeti la Dira afikishwa kituo cha polisi baada ya Gazeti hilo kuandika taarifa potofu ya kuibiwa kifaru cha JWTZ. |
jana JWTZ imekanusha taarifa hizo na kulitaka gazeti hilo kukanusha na kuomba radhi mara moja kwa kutoa taarifa za uongo kwa uma.
Taarifa mpya leo ni kwamba jeshi la polisi nchini linamshikilia mhariri wa Gazeti la Dira kwa mahojiano zaidi.
Alhamisi, 16 Juni 2016
HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA RAPPER CHID BENZ KWA SASA BAADA YA KUPATA MATIBABU................
![]() | |
Huu ndiyo muonekano mpya wa sasa hivi wa rapa chid Benz, aliekua akipata matibabu kutokana na kuadhiriwa na dawa za kulevya |
Hata hivyo meneja wa kundi la Tiptop connection Babu tale ndiye mtu aliejitolea kwa hali na mali kuhakikisha msanii huyo anarudi katika afya yake ya kawaida na kuweza kuendelea na shuhuli zake za muziki,.
Sambamba na hilo msanii huyo baada ya kupona sasa atakua anasimamiwa na Meneja Babu tale katiaka kazi zake za mziki kwa sasa.
WABUNGE WA CHAMA CHA MAPINDUZI[ CCM]WAPENDEKEZA KUONGEZWA KWA SHILINGI 50 KATIKA KILA LITA YA MAFUTA....
Wabunge wa chama cha mapinduzi ccm wataka shilingi 50 iongezwe katika kila lita ya mafuta nchini.
Wabunge hao wa chama hicho tawala wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu walipopinga vikali zoezi la kukatwa kodi katika fedha zao za kiinua mgongo [penssen] wakidai kua hawana fedha yoyote wanayoitegemea ili kuendesha maisha yao baada ya kuustaafu tofauti na hiyo na kuongeza kua muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitano peke yake.
wawakilishi hao wa wananchi katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wametoa pendekezo hilo bungeni ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa wabunge wa vyama vya upinzani wameweka mgomo wa kuto udhuria vikao vya bunge kwa madai ya kutokua na imani na spika wa bunge hilo la jamuuri ya muungano wa Tanzania.
Wabunge hao wa chama hicho tawala wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu walipopinga vikali zoezi la kukatwa kodi katika fedha zao za kiinua mgongo [penssen] wakidai kua hawana fedha yoyote wanayoitegemea ili kuendesha maisha yao baada ya kuustaafu tofauti na hiyo na kuongeza kua muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitano peke yake.
wawakilishi hao wa wananchi katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania wametoa pendekezo hilo bungeni ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa wabunge wa vyama vya upinzani wameweka mgomo wa kuto udhuria vikao vya bunge kwa madai ya kutokua na imani na spika wa bunge hilo la jamuuri ya muungano wa Tanzania.
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMNYONGA KWA KANGA KISA WIVU WA MAPENZI......
![]() | |
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa na mumewe Raphael kazembe tena kwa kutumia khanga mkoani shinyanga kisa kikuu kikiwa ni wivu wa mapenzi. |
Mtuhumiwa alikimbia baada ya tukio hili na mpaka sasa polisi wanaendelea na juhudi za kumsaka kokote aliko,mwenyekiti wa mtaa huo bwana Edward Mihayo anasema taarifa zilimfikia kutoka kwa wanamtaa baada ya kushuhudia maiti ya rehema ikiwa imenyongwa kwa kanga.
Jumanne, 14 Juni 2016
ANTONIO KONTE AMTAKA BEKI WA MANCHESTER UNITED MATHEO DAMIAN KATIAKA KLABU YA CHELSEA.......
![]() | |
Kocha mpya wa klabu ya chelsea Antonio Konte anataka kumsajili beki wa kushoto wa manchester united Mateo Damian, |
Kwa sasa mchazaji huyo yupo nhini ufaransa na timu ya taifa ya italy katika fainali za EURO, timu hiyo ipo chini ya kocha antonio konte ambae ni kocha mtarajiwa wa klabu ya chelsea na kuwa pamoja kwa kocha huyo na beki huyo wa mashetani wekundu, huenda ukawa ni mwanya mzuri kwa kocha huyo kumshawishi Matheo Damian kutua Stanford bridger.
Usajili huyo unataka kufanyika ikiwa ni moja ya harakati za kocha huyo mwitaliano kutengeneza safu ya ulinzi ya klabu hiyo ya chelsea baada ya kuonekana kutetereka katika msimu uliopita kitu kilichopelekea klabu hiyo ambao walikua ni mabigwa wa tetezi kumaliza msimu wakiwa katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi kuu nchini wingereza...
TMTAZAME HAPA VIDEO YA MCHEKESHAJI STAN BAKORA AKIRUDIA KUIMBA WIMBO WA RAYMOND NATAFUTA KIKI..........................
VIDEO YA STAN BAKORA AKILIIMBA WIMBO WA RAYMOND KWENYE VIDEO HIII
Jumatatu, 13 Juni 2016
DONALD TRUMP ASEMA HAYA KUHUSU MAUWAJI YA WATU 50 NCHINI MAREKANI.............
![]() | ||
Mwanasiasa wa nchini marekani Donald Trump amesema mauaji ya watu 50 katika baa jana inathibitisha msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga ardhi ya marekani. |
upande wa bi clinton wakiton ambae ni mpinzani wa Donald trump katika kuwania kiti cha uraisi nchini marekani ,wametoa pole kwa waathirika wa mkasa huo papo hapo wamemtaja Trump kama mtoto anaejitweza ovyo kwa jinsi anavyougeuza mkasa huo wa kitaifa kujipongeza binafsi.
Wakati huo,huo shirika la kijasusi la FBI limesema mtu aliyewaua watu 50 kwa kuwafyatulia risasi katika klabu moja ya wapenzi wa jinsia moja alikiri kuunga mkono kundi la kigaidi la IS.
FBI wameongeza kusema kuwa wamekuwa wakimfanyia uchunguzi mtu huyo Omar Mateen tangu 2013 baada ya kutoa matamshi ya chuki akiwa kazini.
Baba Mateen amesema anaamini kitendo alichokifanya mwanae kilitokana na msukumo wa hisia zake dhidi ya wanaoendeleza mapenzi ya jinsia moja na wala si kwa sababu za kidini.
Naye mkewe wa zamani sitora yusufiy, amemweleza Mateen kama mtu aliyekuwa na tabia za kigomvi na kutaka kupiga watu lakini hakuwa na itikadi kali za kidini
Alhamisi, 2 Juni 2016
MSANII RICH MAVOCO ASAINI RASMI MKATABA WA KUFANYA KAZI CHINI YA KAMPUNI YA WCB...............
![]() | |
Msanii wa mziki wa kizazi kipya rich mavoko asaini rasmi katika kampuni ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Dimond Platnum. |
Kampuni hiyo ya WCB kabla ya kumsainisha rich mavoco ilikua tayari imeshawasainisha wasanii wengine wawili wanao chipukia ambao ni Harmonize ambae tayari ananyimbo mbili zinazofanya vizuri kwa sasa nyimbo hizo ni Aiyola,na Bado, huku mwenzake Raymond akiwa na nyimbo mbili pia ya kwanza inaitwa huku kwetu, na ya pili Natafuta kick.
Mmiliki wa kampuni hiyo ya WCB aliandika haya katika akaunti yake ya facebok huku akiambatanisha na picha hii "welcome rich mavoco let us take bongo fleva to the world,, aliandika dimond platnum.
Kusainiwa kwa msanii huyo rich mavoco katika lebo hiyo anakua ndiye msanii wa kwanza mkogwe kusainiwa na lebo hiyo ya WCB..
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)