C E O OF BMG

- Black generation media Group [ BMG]
- FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.
Jumamosi, 6 Agosti 2016
UONGOZI WA CLUB YA MADRID WAANZA KUMJADILI ZINEDINE ZIDANE.......................................
ZIMESALIA SIKU KUMI KABLA YA KUANZA TENA KWA MSIMU WA LIGI KUU NCHINI WINGEREZA[ EPL]..........,,,,,
CLUB YA ARSENAL YAINGILIWA NA MAHASIMU WAO KATIKA DILI LA USAJILI...............
![]() | |
Washika bunduki wa kaskazini mwa jiji la London [ARSENAL] wamewasilisha maombi kwenye klabu ya Valencia na West Brom, wakitaka kuwa sajili shrodran mustafi na jonny Evans. |
Huenda the Gunners wakapata upinzani mkali kutokakwa chelsea ambao wameonyesha nia ya kumsajili Mustaki ambaye aliwahi kuitumikia Klabu ya Everton.
Mkataba wa Beki huyo kutoka nchini ujerumani unaonyesha kuwa kama kuna klabu ikitaka kumsajili inatakiwa kutoa kiasi cha paundi milioni 41, lakini Valencia wamejishusha na kuwa tayari kupokea hadi pauni million 25.
Arsenal wanahitaji kuongeza beki mpya baaada ya nahodha wao per mertasecker kusumbuliwa na majeraha amabayo huenda yakamweka nje hadi mwishoni mwa mwaka huu.
Beki huyo wa ujerumani alipata majeraha hayo wakati wa mchezo wa kujipima nguvu dhidi ya RC lens, ambapo ulimalizika kwa sare ya bao moja kwa moja.
KIUNGO PAUL POGBA AMKABITHI MSANII DRAKE JEZI YA JUVENTUS YENYE JINA LAKE..................
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)