C E O OF BMG

Picha yangu
FOUNDER AND OWNER OF BLACK GENERATION MEDIA GROUP, JORNALIST AND BROADCASTER BY PROFESIONAL.

Alhamisi, 17 Machi 2016

USIKU WA UEFA CHAMPIONS LEGUE ARSENAL YATOLEWA NA FC BARCELONA KWA JUMLA YA GOLI 5-1

us

Utata wa Filamu ya Lulu Michael Iliyoshinda Tuzo Nigeria..Wizara Yatoa Tamko Hili Hapa....



ANDREA NGOBOLE



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kumekuwa na minongono mingi kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu Filamu ya Mapenzi ya Mungu ya msanii Elizabeth Michael (Lulu) iliyoshinda tuzo ya Filamu bora Afrika Mashariki mapema mwezi huu huko Lagos Nchini Nigeria katika tuzo za African Magic Views Choice Award (AMVCA).

Ili filamu ikamilike inahusisha watu mbalimbali wanaoshirikishwa kukamilisha filamu kuanzia mtoa wazo ambaye wazo hilo huwekwa katika mswada na mtaalamu jambo ambalo haliondoshi umiliki wa filamu.

Tunapenda kuufahamisha umma kuwa mmiliki halali wa Filamu ya Mapenzi ya Mungu ni Msanii Elizabeth Michael (Lulu) na ndiye aliyepata tuzo kwani ana haki zote za kupata tuzo hiyo kama mmiliki halali wa filamu hiyo.

Filamu ya Mapenzi ya Mungu imetengenezwa chini ya kampuni ya Proin Promotion na imesajiliwa kwa namba ya usajili CO831190.

IMETOLEWA NA
WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Kama Wewe ni Msichana na Unamzidi Ruby Kuimba Njoo WASAFI Records - Babu Tale

ANDREA NGOBOLE



Meneja wa lebel ya WCB Babu Tale ametoa fursa kwa wasanii wa kike wenye vipaji kuonyesha vipaji vyao, na hatimaye kuweza kupata fursa ya kuwa chini ya uongozi wao wa WCB.

Babu Tale ametoa fursa hiyo alipokuwa akiongea ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio, alipoenda kumtambulisha msanii mpya amabye atakuwa chini ya uongozi huo Raymond TipTop, na kusema kuwa wasani wa kike ni wachche hivyo wana fursa kubwa ya kufanya vizuri iwapo watajituma.

Tuna Plan kuwapata wasanii wa kike lakini wenye vipaji vya ukweli, asikwambie mtu industry yetu ina wanawake wachache, tungepata wananwake wanne hata watano', alisema Babu Tale
Pia babu Tale alisema anatamani sana msanii Ruby angekuwa kwenye management yake, kwani ana uwezo mkubwa lakini kwa bahati mbaya ytayari yuko chini ya management nyingine ya THT.
Kwangu mimi ingekuwa Ruby hayuko chini ya THT, au hana management tungemchukua, lakini nasema hivi, kama anakuja mwanamke, awe na level ya kufanana na Ruby au kumshinda Ruby", alisema Babu Tale

Pamoja na hayo nae Diamond Platnums amesema ameweka wazi vigezo ambavyo msanii huyo wa kike avifikie ili aweze kuwa chini ya uongozi huo, pamoja na kujituma tofauti na walivyozoea kuwa hawawezi.

Aweze kuandika mashairi, aandike nyimbo zake mwenyewe unajua kuna kitu kimoja, wanawake washajiwekea kuwa wao hawawezi, sio kweli hawataki kufocus na kujaribu", alisema Diamond.

BRAND NEW JOINT FROM ALLY KIBA LUPELLA WATCH IT HERE

Jumamosi, 12 Machi 2016

BRAND NEW JOINT FROM RIHANA FT DRAKE WORK

VIDEO MPYA KUTOKA KWA MKALI WA R N B CHRISS BROWN LITTLE MORE

MCHEKI DIMONDPLATNUM AKIELEZA JINSI ALIVYOMTONGOZA ZARI WALIVYOKUTANA KWA MARA YA KWANZA

HAYA NDIO MANENO YA HARMONISE KUMUHUSU ROSE NDAUKA

ALICHOKISEMA BARAKA THE PRINCE BAADA YA TAARIFA ZA KUMTELEKEZA MWANAE KUVUJA KWENYE VYOMBO MBALI,MBALI VYA HABARI

ANOTHER BRAND NEW JOINT FROM ALLY KIBA LUPELA OFFICIAL VIDEO